Tunapenda kukujulisha kuwa tunatuma bidhaa zetu kote Tanzania! Popote ulipo, utaletewa kwa haraka na kwa uhakika.
Tunapenda kukujulisha kuwa simu zote unazonunua kwetu zinakuja na warranty ya siku 30 kuanzia tarehe ya kuzipokea. Tunajali ubora wa bidhaa zetu na kuridhika kwako ni kipaumbele chetu!
Unaweza kufanya malipo kwa kujiamini, kwani njia zetu zote za malipo ni salama na zinalindwa kwa usalama wa hali ya juu. Tunalinda taarifa na fedha zako kila hatua ya malipo.
Tunapenda kukujulisha kuwa tunatumia usafiri wa mabasi pamoja na huduma za cargo kusafirisha bidhaa zetu hadi mikoa mbalimbali. Hii hutuwezesha kuwafikia wateja wetu popote walipo nchini kwa haraka na uhakika.
+255 768 447 565